Jaribio la Mtandaoni: Maarifa ya Jamii (Darasa la 7)
Karibu katika mfumo wa tathmini ya kielektroniki kwa somo la Maarifa ya Jamii. Majaribio haya yamezingatia mtaala mpya na yanalenga kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika kuchambua matukio ya kihistoria, mazingira yetu, na misingi ya utawala bora.
Maelekezo:
- Soma swali kwa umakini kabla ya kuchagua jibu.
- Hakikisha unajibu maswali yote kabla ya kutuma (Submit).
- Baada ya kumaliza, utapata matokeo yako papo hapo pamoja na masahihisho.
ANZA KUJIBU UMALIZE KUJIBU KABLA YA DAKIKA 10 KUISHA MUDA UKIISHA KAZI ITAJIFUNGA NA KUTOA MATOKEO YA ULICHOFANYA
Discover more from Masomo Yetu
Subscribe to get the latest posts sent to your email.